Dalitso Muweso(35) anayeishi na mkewe bibie Madaliso Kambwiri(32),Jana alizifumania picha za mkewe huyo kwenye usb-disk(flash) ya Boss wake ofisini baada ya kutumwa kwenda kuprint documents muhimu za Boss huyo.

Chanzo chetu cha Udaku kutoka Kenya(Wambui---Fan wa Udakubiz),kinasema kuwa Wanandoa hao ambao Ndoa yao imeingia Mwaka wa Tatu hivi karibuni,walikuwa wanaishi kwa furaha na Amani kiasi kwamba Mtaa mzima walikuwa wanawaonea wivu .

Inasemekana kuwa ilikuwa sio jambo rahisi kwa wanafiki na wambea kuongea uongo wowote either kwa Mume au Mke,kwani wanandoa hao walikuwa Wanapendana na kuaminiana na kila Mmoja alionyesha uaminifu kwa mwenzie.

Lakini Wahenga wenye Busara zao tokea shule ya msingi walishawahi kusema kuwa "Njia ya Muongo,ni Fupi",Pamoja na Mume wake kumuamini mpaka mwisho,lakini inasemekana kuwa Mwanamke huyo alikuwa sio Mwaminifu kwa mumewe,NA chanzo cha kumsaliti Mumewe ilikuwa ni kipato kidogo alichokuwa nacho mumewe.

Jana Wakati mumewe akiwa kazini,akapigiwa simu na Bosi aende ofisini,alipofika Bosi akampa flash akamuomba aende akaprint important documents kwa sababu alimtuma Secretary wake akamchukulie Breakfast kwenye Mgahawa uliokuwa mbali kidogo na Ofisi hizo,Zile Documents zilikuwa zinatakiwa kutumwa haraka kwenye email na secretary alikuwa anachelewa kurudi.

Jamaa akachukua,akaenda kwenye Internet cafe ambayo ipo nje kidogo,ilipochomekwa flash akakuta kuna mafolder mawili,moja limeandikwa 'Secret' lingine limeandikwa 'Confidential',akasahau kuwa aliambiwa kuwa documents zipo kwenye folder la confidential,yeye akafungua lililoandikwa 'Secret' ndipo hapo alipokutana na hizi picha za mkewe.

Bado mpaka sasa hatujajua kilichotokea kwenye Ndoa hiyo,Mdaku wetu wambui atafuatilia kisha tutawafahamisha.






KAMA UNATAKA KUZIANGALIA PICHA ZAKE NYINGINE ZAIDI ZA UCHI,BASI CLICK HAPA

IF YOU WANT TO SEE MORE PHOTOS OF HER NAKED,THEN CLICK HERE

0 comments:

Post a Comment

 
Top